Melilla : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lt:Melilja |
d clean up using AWB |
||
Mstari 1:
[[Picha:Melilla mji.PNG|thumb|right|300px|Ramani ya mji wa Melilla]]
'''Melilla''' (tamka: me-li-ya; Kiarabu: '''مليلية''' meliliya; Rasmi: Ciudad Autónoma de Melilla = Mji wa kujitawala wa Melilla) ni mji wa [[Hispania]] ndani ya eneo la [[Moroko]] kwenye pwani la [[Mediteranea]]. Umbali na Hispania bara ni takriban 170
Melilla ina wakazi 65,500 (mwaka 2005) katika eneo la 20
Uchumi unategemea [[uvuvi]] pamoja na biashara ya mpakani. Pesa rasmi ni [[Euro]].
|