Radi (elementi) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ms:Radium
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 19:
}}
 
[[Picha:Saa_yenye_radi_ya_kungSaa yenye radi ya kung'aa.jpg|thumb|300px|left|Saa hii yaonekana gizani kwa sababu nukta kwenye namba na kwenye mikono yake hung'aa gizani kutokana na radi kwenye rangi ya kijani na nukta hizi]]
'''Radi''' ([[kilatini]] "radius") ni [[elementi]] katika [[mfumo radidia]] yenye alama '''Ra'''. [[Namba atomia]] ni '''88''' na [[uzani atomia]] ni 226.0254. Jina limechaguliwa kutokana na tabia yake ya [[ununurifu]], kilatini "radius" yamaanisha "mwale" au "mwonzi". Kikemia radi ni [[metali ya udongo alikalini]] yenye rangi nyeupe. Lakini inaoksidisha haraka kushika rangi nyeusi.