Mkoa wa Elazığ : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 8:
|}}
'''Elâzığ''' ni [[mikoa ya Uturuki|mkoa]] uliopo nchini [[Uturuki]] ambao pia mji mkuu wake ni [[Elâzığ]]. Idadi ya wakazi ni 595,307 kama jinsi ilivyohesabiwa hapo 2006. Idadi ya wakazi hapo awali ilikuwa 569,616 kwa mwaka wa 2000 na 498,225 kwa mwaka wa 1990.
Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 9,153, na 826  km² ambalo ni eneo la hifadhi na maziwa asilia.
== Wilaya za mkaoni hapa ==
Mkoa wa Elâzığ umegawanyika katika wilya 11 (mji mkuu '''umekoozeshwa'''):