Gallia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ka:გალია
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 1:
[[ImagePicha:Map_Gallia_Tribes_TownsMap Gallia Tribes Towns.png|thumb|250px|right|Gallia wakati wa [[Caesar]] (58[[KK]]); ramani inaonyesha Gallia Cisalpina (jimbo la Kiroma katika Italia ya Kaskazini), Gallia [[Narbonensis]] ilikuwa jimbo la Kiroma katika Kusini ya Ufaransa; Gallia Celtica, [[Belgica]] na Aquitania zilikuwa sehemu za Gallia huru hadi [[Caesar]] (leo nchi za Ufaransa, Uswisi na Ubelgiji)]]
'''Gallia''' ni jina la kihistoria kwa ajili ya [[Ufaransa]] pamoja na maeneo ya jirani.
 
Mstari 24:
Katika karne zilizofuata Gallia imekuwa sehemu halisi ya [[Dola la Roma]]. Inaonekana Wagallia wenyewe walikubali utawala wa Kiroma hasa baada ya kupewa [[uraia wa Kiroma]]. Lugha ya [[Kilatini]] ilitumika kwa ajili ya habari za kiutawala ikapokelewa polepole na wenyeji. Kilatini hiki kilikuwa msingi wa lugha ya [[Kifaransa]] kilichotokea baadaye.
 
[[CategoryJamii:Roma ya Kale]]
[[CategoryJamii:Ufaransa]]
[[CategoryJamii:Nchi ya Kihistoria ya Ulaya]]
 
{{Link FA|af}}
 
[[af:Gallië]]
[[als:Gallien]]