Kolo Toure : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 32:
 
== Wasifu wa Klabu ==
 
=== Arsenal ===
Alizaliwa katika sehemu ya Bouaké, na baada ya jaribio wa muda mfupi, Toure alijiunga na Arsenal mnamo Februari 2002 kutoka ASEC Mimosas kwa paundi £ 150,000. Alipata kibali cha kazi cha Uingereza kutokana na status yake ya kuwa mchezaji wa kimataifa aliyekamilika. Awali alichezeshwa kama mchezaji wa kiungo cha kati wa kushambulia au kama mshambuliaji.
 
==== Msimu wa 2002-03 ====
Toure hakuichezea timu ya kwanza ya Arsenal hadi msimu uliofuata, dhidi ya [[Liverpool ]] katika FA Community Shield mwezi Agosti mwaka wa 2002. Awali alijulikana kama mchezaji anayeweza kucheza katika sehemu yoyote ya uwanja. Alianza wasifu wake wa Arsenal kama mchezaji wa kiungo cha kati na vilevile kama mchezaji wa safu ya ulinzi wa kulia. Alifunga bao lake la kwanza la Arsenal katika uwanja wa Stamford Bridge dhidi ya [[Chelsea]], mechi iliyokamilika kwa sare ya 1-1. Arsenal ilishindwa kuhifadhi taji lao la Premiership msimu huo, hata hivyo Touré aliweka hatua kubwa katika wasifu wake kwa kushinda kombe la FA Cup.
 
==== Msimu wa 2003-04 ====
Msimu wa 2003-04 ulipoanza, Wenger alianza kumtumia Touré katika kati ya safu ya ulinzi sambamba na [[Sol Campbell]]. Wawili hawa walifomu ushirikiano mzuri,na wakawa na msimu mzuri wakati Arsenal ilimaliza msimu mzima bila kushindwa. Yeye, ambaye awali alikuwa mchezaji wa kiungo cha kati wa kushambulia au mshambuliaji, alijitengenezea sifa kwa kuwa mchezaji wa safu ya ulinzi anayeshambulia, na alifunga bao moja na alikuwa na pasi moja iliyosababisha bao; alikuwa na shauku sana kwa mbio zake na kutoka kwa "set-pieces".
 
 
 
==== Msimu wa 2004-05 ====
Touré alikuwa ndani na nje ya timu ya [[Arsenal]] wakati wa msimu wa 2004-05, kwani alikuwa anapigania nafasi katika timu ya kwanza pamoja na [[Phillipe Senderos]] na [[Pascal Cygan]] ambao pia walitaka kucheza sambamba na Sol Campbell katika safu ulinzi. Toure alimaliza msimu huo na medali ya kombe la FA na aliicheza Arsenal mechi 50 pamoja na kufunga bao moja. Bao lake la kipekee la msimu wa 2004-05 lilifungwa dakika ya 90 katika mechi ya raundi ya 16 ya kombe la mabingwa barani Ulaya dhidi ya [[Bayern Munich ]] ya [[Ujerumani]]. Arsenal ilipoteza mechi hiyo 3-1.
 
 
 
==== Msimu wa 2005-06 ====
Toure alijiimarisha kwa haraka kama mmoja wa wachezji bora wa safu ya ulinzi katika ligi kuu ya Uingereza. Alijiimarisha kama mchezaji wa kudumu katika timu ya kwanza ya Arsenal na pia kama mpenzi kwa washabiki. Katika msimu huu wa 2005-06, aliimarisha ushirikiano wa safu ya ulinzi pamoja na Philippe Senderos. Wawili hawa walikuwa na fomu Imakulata msimu huo ukielekea kuisha kwani waliisaidia timu ya Arsenal kufika fainali ya kombe la mabingwa barani Ulaya la mwaka wa 2006 baada ya Arsenal kutofungwa bao kwa mechi 10 mfululizo (rekodi ya Ulaya ya ushindani). Baada ya maonyesho yake ya kishujaa katika ligi ya mabingwa barani Ulaya, sifa yake ilipanda maradufu, kwani alikuwa sasa anaonekana kama mmoja wa wachezaji bora wa safu ya ulinzi duniani katika nafasi yake. Waandishi wa habari wa Kiitaliano hata walimwita Toure " Fabio Cannavaro wa Afrika" wakati Arsenal iliibandua [[Juventus]] nje ya shindano hilo. Toure alionekana kwa upana kama mmoja wa wachezaji wa safu ya ulinzi bora duniani baada ya maonyesho yake na mchezo wake katika kombe la mabingwa barani Ulaya mwaka wa 2006.
 
 
Toure alifunga bao lake la pili la Ulaya tarehe 19 Aprili 2006, bao muhimu la ushindi katika nusu fainali ya kwanza ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya dhidi ya Villarreal CF. Bao hili lilikuwa bao la mwisho la Ulaya kufungwa katika uwanja wa Highbury na pia lilikuwa bao lililoamua kwa ufanisi nusu fainali hii (Arsenal ilishinda 1-0 kwa jumla), na kuipeleka Arsenal katika fainali yake ya kwanza ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya katka mji mkuu wa [[Paris]], [[Ufaransa]].
 
 
 
==== Msimu wa 2006/07 ====
Toure alipewa jesi la namba 5 kwa msimu wa 2006-07, ambalo halikuwa limetumiwa tangu kuondoka kwa Martin Keown. Toure alisaini mkataba mpya wa miaka minne na Arsenal ambao thamani yake ilikuwa karibu paundi (£) elfu 70 kwa wiki. Touré alisema ''"Najiona nikikaa hapa [Arsenal] kwa muda wote wa wasifu wangu"'' . ''"Kwa nini nataka kuondoka? '' ''Naipenda kandanda yangu hapa, familia yangu inaishi hapa, na klabu hii ina lengo '' '''' Licha ya Arsenal kuwa na kampeni iliyosikitisha, Touré alikuwa thabiti kama kawaida, na alikuwa katika nafasi ya tatu chuma ya [[Gilberto Silva]] na [[Cesc Fabregas ]] katika tuzo la Mchezaji bora wa Arsenal wa msimu.
 
 
 
==== Msimu wa 2007/08 ====
Line 68 ⟶ 58:
==== Msimu wa 2008/09 ====
Tarehe 1 Januari 2009, Toure alidai kuwa alitaka kuihama Arsenal baada ya ugomvi baina yake na mchezaji mwenzake wa safu ya ulinzi William Gallas. Iliripotiwa kuwa alitoa ombi la uhamisho ambalo baadaye lilikataliwa na mwenyekiti wa Arsenal, Peter Hill-Wood. Hata hivyo, Touré alibadilisha uamuzi wake kwa muda mfupi na kuonyesha nia yake ya Gunners angalau hadi msimu ulipokamilika.
 
 
 
=== Manchester City ===
 
==== Msimu wa 2009/10 ====
Baada ya uvumi mwingi wa uhamisho, ilitangazwa mnamo 28 Julai, 2009 kwamba Manchester City ilikubali kumnunua Kolo Toure kwa ada ya paundi (£) milioni 14. Baada ya kufanikiwa kupita kwa matibabu katika Manchester tarehe 29 Julai 2009, Toure alisaini mkataba wa miaka minne Manchester City ambayo ina chaguo la kuendeleza kwa zaidi ya miaka 5. Manchester City, ambayo ilimaliza katika nafasi ya 9 msimu uliyopita, ilikuwa imewatia saini wachezji wa kiwango cha juu katika maandalizi kwa msimu wa 2009-10, na Touré anatarajia kuisaidia City kuwa katika nafasi moja ya nne za kwanza ya ligi kuu ya Uingereza. Hivi karibuni aliteuliwa kuwa nahodha wa klabu hiyo na meneja wa hapo awali, Mark Hughes. Alifunga bao lake la kwanza la Manchester City katika ushinda wa 2-1 dhidi ya Fulham tarehe 23 Septemba 2009 katika mechi ya Kombe la Carling. Alifunga bao lake la kwanza la ligi la Manchester City dhidi ya Burnley tarehe 7 Novemba 2009.
 
 
 
== Wasifu wa Kimataifa ==
Toure ameichezea nchi ya [[Cote d'Ivoire]] tangu mwaka wa 2000. Mechi yake ya kwanza ilikuwa mnamo Aprili 2000 dhidi ya Rwanda. Yeye ni chaguo la kwanza la mchezaji wa kati katika safu ya ulinzi. Alicheza mechi zote tano za Cote d'Ivoire lakini walibanduliwa nje ya Kombe hilo na wenyeji [[Misri]] mnamo Januari 2006.
 
 
Alitajwa katika kikosi cha watu 23 kilichochukuliwa na kocha Henri Michel kwenda kushiriki katika kombe la dunia la mwaka wa 2006 na alicheza mechi yake ya kwanza katika Kombe la Dunia tarehe 11 Juni 2006, mechi ambayo Cote d'Ivoire ilipoteza 1-2 dhidi ya [[Ajentina]]. Ameifungia Ivory Coast mabao mawili kwa mechi sabini alizozichezea hadi sasa, yote kutumia kichwa dhidi ya [[Gabon]] (Nyumbani) na Tajikistan (Ugenini) mtawalia.
 
 
 
=== Mabao ya kimataifa ===
Line 113 ⟶ 95:
| Maonyesho mchezo
|}
 
 
 
== Mbinu ya kucheza ==
Touré anajulikana kwa kasi na nguvu yake, ambazo humwezesha kuwatoa washambulizi dhaifu kutoka kwa mpira na kupambana na washumbilizi wenye mbio. Ana uwezo mzuri wa kumshika mpinzani na makabiliano mengi huwa wa wakati muafaka nah hii imechangia rekodi yake nzuri ya nidhamu. Ingawa ni mfupi kama mchezaji wa kati wa safu ya ulinzi, yeye huruka juu sana.
 
 
 
== Takwimu ya Wasifu ==
Line 184 ⟶ 162:
 
<small>(* FA Cup, Kombe la Carling na Community Shield)</small>
 
 
 
== Maisha ya Kibinafsi. ==
Kolo Toure ni Mwislamu. Yeye ni kakaze wa Yaya Toure wa FC Barcelona na Ibrahim Touré ambaye ni mshambuliaji wa Al-Ittihad.
 
 
 
== Tuzo ==
 
==== Mimosas ====
 
* Côte d'Ivoire Premier Division: 2001, 2002
 
 
 
==== Arsenal ====
Line 206 ⟶ 177:
* Kombe la FA: 2007, 2009
* FA Community Shield: 2002, 2004
 
 
Nafasi ya pili
Line 214 ⟶ 184:
* Kombe ya Carling:2003
* FA Community Sheld (2): 2003, 2005
 
 
 
==== Kimataifa ====
Line 221 ⟶ 189:
 
* Kombe la Mataifa ya Afrika: 2006
 
 
 
== Marejeo ==
{{reflist}}
 
 
 
== Viungo vya nje ==
{{Commons category}}
 
* [http://www.arsenal.com/first-team/players/kolo-toure Profile] saa Arsenal.com
* {{soccerbase|id=27346|name=Kolo Touré}}
* [http://www.sporting-heroes.net/football-heroes/searchresults.asp?ButtonLeap=0&amp;countryLinkDescription=+matching+search+results&amp;FootballHeroName=kolo+toure&amp;FootballHeroClubCountry=&amp;FootballHeroDecade=Select+One&amp;SearchButton=Search Stats na photos] saa Sporting Heroes
 
 
{{Côte d'Ivoire Squad 2006 Africa Cup of Nations}}
Line 241 ⟶ 203:
{{Côte d'Ivoire Squad 2008 Africa Cup of Nations}}
{{Manchester City F.C. squad}}
 
 
 
{{Persondata
Line 253 ⟶ 213:
|PLACE OF DEATH=
}}
 
{{DEFAULTSORT:Toure, Kolo}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu Walio Hai]]