20,706
edits
d (roboti Nyongeza: pnb:ارنسٹ بورس چین) |
d (clean up using AWB) |
||
'''Ernst Boris Chain''' ([[19 Juni]], [[1906]] – [[12 Agosti]], [[1979]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Kwa vile alikuwa [[Wayahudi|Myahudi]] alihamia nchi wa [[Uingereza]] wakati wa [[Adolf Hitler]] kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza [[kiua vijasumu|viua vijasumu]]. Mwaka wa [[1945]], pamoja na [[Alexander Fleming]] na [[Howard Walter Florey]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''. Mwaka wa [[1969]] alipewa cheo cha "Sir".
{{mbegu-mwanasayansi}}▼
{{DEFAULTSORT:Chain, Ernst Boris}}
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Tiba]]
▲{{mbegu-mwanasayansi}}
[[af:Ernst Boris Chain]]
|
edits