Alan Hodgkin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: no:Alan Lloyd Hodgkin |
d clean up using AWB |
||
Mstari 3:
'''Alan Lloyd Hodgkin''' ([[5 Februari]], [[1914]] – [[20 Desemba]], [[1998]]) alikuwa mwanafizikia wa biolojia na mwanafiziolojia kutoka nchi ya [[Uingereza]]. Hasa alichunguza mawasiliano ya [[neva]]. Mwaka wa [[1963]], pamoja na [[John Eccles]] na [[Andrew Huxley]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''. Mwaka wa [[1972]] alipewa cheo cha "Sir".
{{DEFAULTSORT:Hodgkin, Alan}}▼
{{mbegu-mwanasayansi}}
▲{{DEFAULTSORT:Hodgkin, Alan}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1914]]
[[Jamii:Waliofariki 1998]]
|