Hans Krebs : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pnb:ہاںز ایڈولف کربز |
d clean up using AWB |
||
Mstari 1:
[[
'''Hans Adolf Krebs''' ([[25 Agosti]], [[1900]] – [[22 Novemba]], [[1981]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Mwaka wa 1933, kwa vile wazazi wake walikuwa [[Wayahudi]] alilazimishwa kuhamia [[Uingereza]]. Hasa alichunguza athari za kikemia ndani ya [[chembe hai]]. Mwaka wa [[1953]], pamoja na [[Fritz Lipmann]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Tiba'''. Mwaka wa [[1958]] alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.
{{DEFAULTSORT:Krebs, Hans Adolf}}▼
[[Category:Waliozaliwa 1900]]▼
[[Category:Waliofariki 1981]]▼
[[Category:Wanasayansi wa Ujerumani]]▼
[[Category:Wanasayansi wa Uingereza]]▼
[[Category:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]▼
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Tiba]]▼
{{mbegu-mwanasayansi}}
▲{{DEFAULTSORT:Krebs, Hans Adolf}}
[[ar:هانس كريبس]]
|