Rasi ya Sinai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: es:Península del Sinaí |
clean up using AWB |
||
Mstari 1:
[[Picha:
'''Rasi ya Sinai''' ([[Kiar.]]: sina' سيناء) ni [[rasi]] yenye umbo la pembetatu nchini [[Misri]] upande wa kaskazini ya [[Bahari ya Shamu]] inayounganisha bara za [[Afrika]] na [[Asia]]. Inahesabiwa kuwa sehemu ya mwisho wa Asia ya Magharibi.
Eneo la Sinai ni takriban 60,000
Mahali panapojulikana zaidi ndani ya eneo al rasi ni [[mlima Sinai]] (pia: mlima Horeb, jabal Musa) unaoaminiwa ni mahali ambako [[Musa]] alipokea [[amri kumi]] za [[Mungu]].
|