Dili : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: af:Dili
CGN2010 (majadiliano | michango)
clean up using AWB
Mstari 17:
 
Mji uko upande wa kaskazini ya kisiwa cha [[Timor]] una bandari kuu la nchi pamooja na uwanja wa ndege wa kimatifa. Ni pia mahali pa [[chuo kikuu]] cha Timor ya Mashariki.
 
 
 
Mji ulianzishwa na Wareno mnamo mwaka 1520 ukawa makao makuu ya koloni ya Kireno. Uhuru wa nchi ulitangazwa hapa 1975 uliofuatwa na uvamizi wa [[Indonesia]]. Vita ya ukombozi ilileta uharibifu mwingi.