Maharaja : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ca, de, el, eo, hr, hu, id, ms, simple Badiliko: cs, es, pt
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 1:
[[ImagePicha:Major-General H.H. Farzand-i-Dilband Rasikh- al-Iqtidad-i-Daulat-i-Inglishia, Raja-i-Rajagan, Maharaja Sir Jagatjit Singh, Bahadur, Maharaja of Kapurthala, GCSI , GCIE , GBE.jpg|thumb|200px|Sikh Maharaja alikuwa mtawala wa Kapurthala]]
 
'''Maharaja''' ([[Kisanskrit]] महाराज mahārāja, ''mtawala mkubwa'', ''mfalme mkubwa'') ni cheo cha kihistoria kwa mtawala mkabaila nchini [[Uhindi]]. Umbo la kike ni maharani ambaye ni ama mke wa maharaja au mtawala wa kike. Cheo hiki kilitumiwa pia katika madola yaliyoathiriwa na Uhindi katika nchi za [[Indonesia]], [[Malaysia]] na [[Ufilipino]] za leo.
Mstari 13:
Wakati wa uhuru wa [[Uhindi]] na Pakistan kama [[jamhuri]] madola madogo yalifutwa na cheo cha maharaja kilipigwa marufuku.
 
[[CategoryJamii:Historia ya Uhindi]]
[[CategoryJamii:Cheo]]
 
[[ar:ماهاراجا]]