Mkataba wa Helgoland-Zanzibar : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 11:
Uingereza ilikubali koloni ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] ([[Tanganyika]], [[Rwanda]], [[Burundi]]. Waingereza waliahidi kumshawishi Sultani ya Zanzibar ili awaachie Wajerumani haki za Zanzibar Tanganyika bara.
Ujerumani ilifuta mipango yake katika [[Uganda]] na [[Zanzibar]] ambako Mjerumani [[Karl Peters]] aliwahi kusaini mapatano ya ushirikiano na [[Usultani wa Zanzibar|Sultani]] na [[Kabaka]].
 
Pia iliwaachia Waingereza Usultani ya [[Witu]] iliyokuwa tayari chini ya ulinzi wa Ujerumani tangu 1885 na madai yake kwenye pwani la Kenya katika eneo la [[funguvisiwa ya Lamu]] na pwani la [[Somalia]] hadi [[Kismayu]].