Thabo Mbeki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
viungo vya Nje
Mstari 12:
==Makamu wa Rais na Rais==
Baada ya uchaguzi huru wa kwanza nchini Afrika Kusini mwaka 1994 alikuwa makamu wa rais chini ya Nelson Mandela. Mwaka 1997 akawa mwenyekiti wa ANC badala ya Mandela. 16 Juni 1999 akaapishwa kama rais wa Afrika Kusini akarudishwa katika uchagizi wa Aprili 2004.
 
==Viungo vya Nje==
[http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/3499695.stm BBC kuhusu Thabo Mbeki]
 
{{mbegu}}