Emeka Ojukwu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
 
No edit summary
Mstari 5:
== Maisha yake ==
Ojukwu amezaliwa katika kabila la [[Waigbo]]. [[1957]] alijiunga na jeshi. [[1966]] akiwa [[kanali]] alikuwa afisa kiongozi na gavana wa kijeshi wa mkoa wa mashariki.
Baada ya mauaji wa Waigbo wengi katikaupande wa kaskazini ya Nigeria alitangaza uhuru wa mkoa wa mashariki penye Waigbo wengi ulioitwa "Biafra".
 
Ojukwu alikuwa rais wa Biafra kati ya [[30 Mei]] [[1967]] na [[8 Januari]] [[1970]]. Baada ya Biafra kushindwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Nigeria Ojukwu alikimbia [[Côte d'Ivoire]]. Mwaka 1980 alikaribishwa na rais wa Nigeria [[Alhaji Shehu Shagari]] arudi nyumbani.
Mstari 13:
== Viungo vya Nje ==
 
*('''en:''') [http://www.biafraland.com/massob.htm MASSOB, The Movement for the Actualization of the Sovereign State of Biafra]
 
{{DEFAULTSORT:Ojukwu, Emeka}}
[[Category:Siasa Nigeria|Ojukwu]]
[[Category:Waigbo|OjukwuSiasa ya Nigeria]]
[[Category:Waigbo]]
 
[[de:Chukwuemeka Odumegwu]]