Mchikichi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Mchikichi''' ('''Elaeis guineensis''') ni kati ya [[miti]] iliyo muhimu zaidi kiuchumi. Matunda yake huleta [[mawese]] ambayo hutumika sana kama [[mafuta ya kupikia]], kwa ajili ya madawa mbalimbali na siku hizi pia kama [[diseli]].
Mti unakua hadi kimo cha
Asili yake iko [[Afrika ya Magharibi]]. Mti ulipewa jina la kisayansi „Elaeis guenesis“ kwa sababu kiasili ilipatikana kwa wingi katika nchi za [[Guinea (kanda)|kanda ya Guinea]]. Siku hizi inakuzwa zaidi katika [[Amerika]] na hasa [[Asia]] ya kusini.
|