Wazigula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
wikify
CGN2010 (majadiliano | michango)
→‎Lugha: move translations to kizigula
Mstari 41:
Vyakula vya asili vinavyopendelewa kuliwa na wazigua ni ugali unaopikwa kutokana na unga wa mahindi yaliyokobolewa na kuvundikwa kwa muda mrefu kabla ya kusagwa au kutwangwa. Baada ya kysagwa hutoa unga mweupe na laini sana. Ugali huliwa na mboga za asili kama vile, Kungujulu, Sunga, Kididi, Mnavu, nyama za pori na uyoga.
 
== Lugha ==
Maneno ya kizigua na maana zake kwa Kiswahili.
 
[[Kizigua]] [[Kiswahili]]
Mgosi Mwanaume
Mwana Mtoto
Mwana wa Chigosi Mtoto wa Kiume
Mwana wa Chivyele Mtoto wa kike
Uta Upinde
Nguku Kuku
Biga Mtungi
Mazi Maji
Uchi Asali
Sila Barabara
 
{{mbegu}}