Mkondo wa Benguela : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: hi:बेंगुएला धारा; cosmetic changes
Mstari 1:
[[imagePicha:Benguela.PNG|thumb|400px|Mkondo wa Benguela kati ya mikondo ya Atlantiki ya Kusini<br /><small>mikondo baridi kwa rangi ya buluu - mikondo ya vuguvugu kwa rangi nyekundu</small>]]
 
'''Mkondo wa Benguela''' ni [[mkondo wa bahari]] katika [[Atlantiki]] ya Kusini unaotoka katika bahari baridi karibu na [[Antaktika]] na kuelekea kaskazini ukipita kwenye pwani la magharibi la Afrika. Mkondo una upana wa 200-3000 km.
Mstari 7:
Kusini ya rasi ya Afrika mkondo wa Benguela unakutana na maji ya vuguvugu ya [[mkondo wa Agulhas]] kutoka [[Bahari Hindi]].
 
== Athira kwa hali ya hewa Namibia ==
Ukipita kwenye pwani la [[Namibia]] husababisha hali ya hewa kavu sana. Baridi ya mkondo wa Benguela hupoza upepo kutoka kusini-magharibi na kuusababisha kunyesha unyevu wake kama mvua baharini hivyo kuzuia mvua barani. [[Jangwa la Namib]] ni tokeo la mazingira haya. Halijoto ya maji kwenye mwambao wa Namibia huwa ni kwenye 15 [[°C]] na ukungu hutokea mara kwa mara mwambaoni.
 
[[CategoryJamii:Mikondo ya Bahari]]
[[Jamii:Jiografia ya Namibia]]
 
Mstari 20:
[[fi:Benguelavirta]]
[[fr:Courant de Benguela]]
[[hi:बेंगुलाबेंगुएला धारा]]
[[hr:Benguelska struja]]
[[id:Arus Benguela]]