Sade : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
picha |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Sade-Best of Sade.jpg|thumb|Sade]]
'''Helen Folasade Adu''' (alizaliwa Januari 16 1959. Anajulikana zaidi kwa jina la Sade. Sade ambaye amewahi kupata [[Tuzo ya Grammy]]ni mwimbaji na mtunzi aliyezaliwa nchini [[Nigeria]].▼
▲'''Helen Folasade Adu''' (
=Historia=▼
Sade alizaliwa katika mji wa [[Ibadan]] katika [[Jimbo la Oyo]]. Baba yake, Bisi Adu, alikuwa ni Mnigeria, mhadhiri wa masuala ya uchumi, na mama yake, Anne Hayes,alikuwa ni nesi toka Uingereza. Baada ya baba na mama yake kuachana, mama yake alirudi Uingereza ambapo aliwachukua Sade na kaka yake, Banji. Akiwa Uingereza, Sade alijenga mapenzi na masuala ya mitindo, dansi, na kuimba. Wakati huo alipenda kuwasikiliza wanamuziki kama [[Marvin Gaye]], [[Curtis Mayfield]], na [[Donny Hathaway]]. ▼
▲==Historia==
▲Sade alizaliwa katika mji wa [[Ibadan]] katika [[Jimbo la Oyo]]. Baba yake, Bisi Adu, alikuwa ni Mnigeria, mhadhiri wa masuala ya uchumi, na mama yake, Anne Hayes, alikuwa ni nesi toka [[Uingereza]]. Baada ya baba na mama yake kuachana, mama yake alirudi Uingereza ambapo aliwachukua Sade na kaka yake, Banji. Akiwa Uingereza, Sade alijenga mapenzi na masuala ya mitindo, dansi, na kuimba. Wakati huo alipenda kuwasikiliza wanamuziki kama [[Marvin Gaye]], [[Curtis Mayfield]], na [[Donny Hathaway]].
{{mbegu}}
{{DEFAULTSORT:Sade}}
[[Category:Wanamuziki]]▼
[[Category:
▲[[Category:Wanamuziki wa Uingereza]]
[[Category:Wanamuziki wa Nigeria]]
[[Category:Washindi wa Tuzo ya Grammy]]
|