Rupia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: war:Rupee
d roboti Nyongeza: arz:روبيه; cosmetic changes
Mstari 2:
'''Rupia''' ni jina la pesa inayotumika leo [[India]] na nchi mbalimbali za [[Asia]]. Ni pia jina la pesa iliyowahi kutumika [[Afrika ya Mashariki]] na nchi mbalimbali.
 
== Jina na historia ==
Neno "rupia" limetokana na lugha ya kihindi ya kale "rūp" au "rūpā" linalomaanisha "fedha". Katika lugha ya [[Sanskrit]] "rupyakam" (रूप्यकम्) inamaanisha [[sarafu]] ya [[fedha]]. Hii ni asili ya "Rūpaya" iliyotumika katika India kama sarafu yenye gramu 178 za fedha tangu 1540 . Rupia moja ilikuwa na 16 Anna, 64 Paisa au 192 Pai.
 
== Pesa ya kisasa ==
Leo hii nchi zifuatazo zinatumia jina la Rupia (Rupiah, Rupee: ₨) kwa pesa zao:
* [[India]]
Mstari 15:
* [[Sri Lanka]]
 
== Pesa ya kihistoria ==
Rupia ilikuwa kihistoria pesa ya nchi na maeneo yafuatayo:
 
Mstari 33:
</gallery>
 
[[CategoryJamii:Pesa]]
 
[[arz:روبيه]]
[[be-x-old:Рупія]]
[[bs:Rupi]]