Ngoma : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
''' '''NGOMA''''''
Ngoma ni muziki na lugha ya pekee inayotumika kwa kuelezea
utamaduni na historia ya nchi fulani,
katika kuelezea hali mbalimbali za maisha yetu, kama vile huzuni,
furaha, mapenzi, kutia moyo, vitisho, shukurani
Babu zetu walikuwa na lugha hii ya ngoma ambayo tumeirithi
kwa mapokeo.
|