Mtaguso wa nne wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Mtaguso wa nne wa Laterano''' ([[1215]]) unahesabiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtaguso mkuu]] wa 12.
 
Uliitishwa na [[Papa Inosenti III]] ([[1198]]-[[1216]]) kama kilele cha kazi yake.
Ulihudhuriwa na ma[[askofu]] 483 (wakiwemo ma[[patriarki]] wa Kilatini wa [[Konstantinopoli]] na [[Yerusalemu]] na wawakilishi wa wale wa [[Antiokia]] na [[Aleksandria]]), na wakuu wa watawa 900 hivi, mbali na mabalozi wa watawala wa nchi mbalimbali.
 
Ulihudhuriwa na ma[[askofu]] 483zaidi ya 400 (wakiwemo ma[[patriarki]] wa Kilatini wa [[Konstantinopoli]] na [[Yerusalemu]] na wawakilishi wa wale wa [[Antiokia]] na [[Aleksandria]]), na wakuu wa watawa 900zaidi ya hivi800, mbali na mabalozi wa watawala wa nchi mbalimbali.
Mada kuu zilikuwa [[Vita vya msalaba]], [[Mashindano kuhusu uteuzi wa viongozi wa Kanisa]], [[mamlaka]] ya [[Papa]], mwenendo wa ma[[kleri]], [[mashirika ya kitawa]], [[imani]] kuhusu [[ekaristi]], adhimisho la [[sakramenti]] ya [[kitubio]].
 
Mada kuu zilikuwa [[Vita vya msalaba]], [[Mashindano kuhusu uteuzi wa viongozi wa Kanisa]], [[mamlaka]] ya [[Papa]], mwenendo wa ma[[kleri]], [[mashirika ya kitawa]], [[imani]] (kuhusu [[ekaristi]] n.k.), adhimishona lawajibu wa [[Ukristo|Wakristo]] wote kupokea [[sakramenti]] ya [[kitubio]] walau mara moja kwa mwaka.
 
Kutokana na wingi na umuhimu wa mafundisho na maamuzi yaliyotolewa, mtaguso huo unahesabiwa kuwa kati ya ile iliyoathiri zaidi [[Kanisa]] hadi leo.
Line 13 ⟶ 15:
Papa mwenyewe ndiye aliyefungua kikao kwa hotuba ya kusisimua tarehe [[11 Novemba]] [[1215]], naye tarehe [[30 Novemba]] alipendekeza kanuni 70 ambazo zilipitishwa bila ya kupingwa.
 
Hivyo [[mtaguso]] huo ulizidi kukusanya mamlaka ya [[Kanisa]] mikononi mwa [[Papa]].
 
== Viungo vya nje ==
 
* [http://www.newadvent.org/cathen/09018a.htm ''FourthMtaguso Lateranwa Council''nne wa Laterano katika [[Catholic Encyclopedia]].]
* [[Enchiridion symbolorum, definitionum et declarationum de rebus fidei et morum]] [http://catho.org/9.php?d=bxw#bo5 800-815] (Mafundisho muhimu ya mtaguso huo kwa [[Kilatini]])
 
[[Jamii:Mitaguso]]
[[Jamii:Laterano]]
 
[[ca:Concili del Laterà IV]]