Mtaguso wa pili wa Lyon : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: es:Concilio de Lyon II
No edit summary
Mstari 1:
'''Mtaguso wa pili wa Lyon''', uliofanyika mwaka [[1274]], unahesabiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtaguso mkuu]] wa 14.
 
== Mazingira ==
Mstari 5:
[[Mtaguso]] wa pili kufanyika [[Lyon]] ([[Ufaransa]]) ulikusudiwa hasa kurudisha [[umoja]] kamili kati ya Wakatoliki na [[Waorthodoksi]], uliotafutwa katika [[karne ya 13]] yote.
 
Mnamo Februari [[1274]], katika [[ikulu]] ya [[Konstantinopoli]], [[kaisari]] [[Mikaeli VIII]] ilifaulu kufanya ma[[askofu]] wengi wakiri ungamo la [[imani]] lililodaiwa na [[Papa Klementi IV]] ([[1265]]-[[1268]]).
 
Ndipo [[Papa Gregori X]] ([[1271]]-[[1276]]) alipoitisha mtaguso huko Lyon, ambao uhudhuriwe na wawakilishi wa Waorthodoksi ili kukamilisha umoja.
 
== Kazi na maamuzi ya mtaguso ==
 
[[Papa Gregori X]] alifungua mtaguso tarehe [[7 Mei]] [[1274]] akitangaza tena malengo yake matatu: Kusaidiakusaidia [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Nchi takatifu]], kuungana tena na Waorthodoksi na kurekebisha [[maadili]] ndani ya [[Kanisa]].
 
Vilifuata vikao viwili tarehe [[18 Mei]] na [[4 Juni]]. Halafu tarehe [[24 Juni]] ulifika na kupokewa kwa shangwe ujumbe kutoka [[Ugiriki]], ukiundwa na maaskofu 2 na katibu wa kaisari.
Mstari 19:
== Mapokezi ya mtaguso ==
 
Muungano haukuweza kudumu, kwa sababu, (alivyoandika [[Papa Paulo VI]] ([[1963]]-[[1978]]) tarehe [[19 Oktoba]] [[1974]]), ulifanyika «bila ya kulipatia [[Kanisa la Kigiriki]] nafasi ya kutokeza kwa hiari mtazamo wake kuhusu jambo hilo. Wakristo wa [[Kilatini]] ndio waliotunga hati na matamko kufuatana na mafundisho juu ya Kanisa yaliyofafanuliwa na kupangwa magharibi».
 
[[Mikaeli VIII]] alijaribu kulazimisha raia zake wapokee mambo wasiyoyakubali kwa moyo, hata akatumia nguvu [[dhuluma|kuwadhulumu]] waliokataa; akilaumiwa na watu wa [[Roma]] kwa kushindwa kufanikisha muungano, akaja kutengwa na Kanisa. Alipokufa ([[1282]]), mwanae [[Androniko II]] aliyemrithi, alifuta maamuzi ya baba yake kwa ajili ya muungano.
 
Vilevile mipango kwa ajili ya [[vita vya msalaba]] haikutekelezwa, na hatimaye ([[1291]]) [[Waturuki]] waliteka [[Akri]], mji wa mwisho kubaki mikononi mwa Wakristo huko [[Mashariki ya Kati]].
 
Maamuzi mengine yalihusu utaratibu mpya wa kumchagua [[Papa]] kwa lengo la kuzuia uchelewaji uliojitokeza hapo nyuma, na katazo la mashirika mapya ya kitawa.
 
== Vitabu vya rejea ==
Line 29 ⟶ 33:
== Viungo vya nje ==
 
* [http://www.newadvent.org/cathen/09476c.htm Lyons,Mtaguso Secondwa Councilpili wa Lyon of] katika [[Catholic Encyclopedia]].]
* [http://www.totustuus.biz/users/concili/lione2.htm KanuziKanuni wa mtaguso huo]
 
[[Jamii:Mitaguso]]
[[Jamii:Lyon]]
 
[[bg:Втори Лионски събор]]