Ngoma : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
Neno ngoma lina maana mbalimbali:
''' '''NGOMA''''''
 
Ngoma ni muziki na lugha ya pekee inayotumika kwa kuelezea
*[[ngoma (ala ya muziki)|Ngoma]] inaweza kumaanisha [[ala ya muziki]] inayotumika sana barani [[Afrika]] (angalia [[ngoma (ala ya muziki)]]).
utamaduni na historia ya nchi fulani, tunatumia lugha ya ngoma
*[[ngoma (muziki)|Ngoma]] inaweza kumaanisha muziki unaochezwa na ala hii (angalia [[ngoma (muziki)]]), au [[muziki]] wa aina yoyote.
katika kuelezea hali mbalimbali za maisha yetu, kama vile huzuni,
*Ngoma inaweza kumaanisha [[kucheza na muziki wa ngoma]], au [[kucheza na muziki]] wa aina yoyote.
furaha, mapenzi, kutia moyo, vitisho, shukurani na ushindi.
*Katika [[lugha ya mtaani]], ngoma inaweza kumaanisha [[Virusi vya Ukimwi]] au [[Ukimwi]].
Babu zetu walikuwa na lugha hii ya ngoma ambayo tumeirithi
 
kwa mapokeo.
{{maana}}