Shirika Lisilo la Kiserikali : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d ainisha {{mbegu}} using AWB
Mstari 9:
Kwa mfano shirika zisizo za serikali zilifanya kazi ya kutunza wakimbizi katika Sudan ya kusini wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe zikitumia pesa za Umoja wa Ulaya au serikali mbalimbali zilizotengwa kwa usaidizi wa watu matatizoni. Lakini kutokana na sababu za kisiasa serikali hizi hazikuweza kupeleka usaidizi kwa watu wenyewe pale walipokaa katika shida ila shirika zisizo za serikali zilikuwa na uhuru wa kujadiliana na pande zote na kuingia kila mahali ikiwezekana.
 
{{stubmbegu-siasa}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Mashirika]]
 
<!-- interwiki -->
[[ar:منظمة غير حكومية]]
[[ast:ONG]]