Mtaguso wa Konstanz : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: simple:Council of Constance
No edit summary
Mstari 1:
'''Mtaguso wa Konstanz''' ([[1414]]-[[1418]]) unahesabiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtaguso mkuu]] wa 16.
 
[[Mtaguso]] huu uliitishwa na [[antipapa]] [[Yohane XXIII]] kwa ombi la [[kaisari]] wa [[UjerumaniSigismund]] wa [[SigismundUjerumani]] ukathibitishwa na [[Papa Gregori XII]] ([[1406]]-[[1415]]).
 
Ulifanyika [[Konstanz]] (Ujerumani).
Mstari 7:
Lengo kuu lilikuwa kumaliza [[Farakano la Magharibi]] lililofikia hatua ya kuona ma[[askofu]] watatu kujidai [[Papa]] kwa wakati mmoja.
 
Malengo mengine yalikuwa kung’oa [[uzushi]] na kurekebisha [[Kanisa]] “katika kichwa na viungo vyake”.
Hatimaye [[Papa Gregori XII]] alikubali kujiuzulu, wapinzani wake waliondolewa, na [[Papa Martin V]] alichaguliwa.
 
Hatimaye [[Papa Gregori XII]] alikubali kujiuzulu, wapinzani wake wawili waliondolewa, na [[Papa Martin V]] alichaguliwaakachaguliwa.
Kati ya maamuzi mengine kuna hukumu dhidi ya [[Jan Hus]] kama [[mzushi]].
 
Ulikuwa mtaguso muhimu kwa wingi wa waliohudhuria (ma[[kardinali]] 29, ma[[askofu]] 186, ma[[abati]] zaidi ya 100 na wataalamu 300 hivi), muda (vikao 55) na mafanikio, ingawa majaribio yake ya mapinduzi yalishindikana, hasa ulipodai kuwa na mamlaka ya juu kuliko [[Papa]].
 
Kati ya maamuzi mengine kuna hukumu dhidi ya [[John Wyclif]] na [[Jan Hus]] kama [[mzushiwazushi]].
 
==Viungo vya nje==
*[http://www.newadvent.org/cathen/04288a.htm CouncilMtaguso ofwa ConstanceKonstanz inkatika [[Catholic Encyclopedia]]]
*[http://www.piar.hu/councils/ecum16.htm Tanner, Norman P., editor, ''Decrees of the Ecumenical Councils'']: ''Council of Constance 1414-18'', excerpts of the sessions (in English)
*[http://info.wlu.ca/~wwwhist/faculty/cnighman/cc/index.html ElectronicVyanzo Sourcesmbalimbali forkuhusu themtaguso Council of Constance (1414-18)huo]
 
[[Category:Mitaguso]]
[[Jamii:Konstanz]]
 
[[als:Konzil von Konstanz]]