Aung San Suu Kyi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 27:
| }}
 
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]'''Aung San Suu Kyi''' ni kiongozi wa harakati ya kidemokrasia nchini [[Myanmar]] (Burma) aliyeefungwaaliyefungwa ndani ya nyumba yake na serikaliyserikali aya kijeshi baada ya kushinda uchaguzi huru wa mwaka 1990.
 
Aung San Suu Kyi amezaliwa kamaamelizaliwa binti wa [[jenerali]] [[Aung San]] aliyekuwa kiongozi wa uhuru wa Burma kutoka ukoloni wa [[Uingereza]] baada ya vita kuuvikuu yavya pili yavya dunia.
 
Binti yake alisomaAlisoma chuo kikuu huko Uingereza, akaolewa na Mwingereza Michael Aris mwaka 1972 na akazaa wana wawili.
 
1988 alirudi Burma kumwona mamake mzee aliyekuwa mgonjwa akajikuta katika siku za mwisho za serikali ya dikteta ya kijeshi jenerali Ne Win.
 
Aung San Suu Kyi kama binti wa mshujaashujaa wa uhuru alikaribishaalikaribishwa na kujiunga na chama kipya cha upinzani akawa mwenyekiti wa National League for Democracy (NLD) iliyoshinda uchaguzi wa mwaka 1990. [[Serikali ya kijeshi]] ilibatilisha uchaguzi huu na kupiga NLD marufuku. Suu Kyi alifungwa ndani ya nyumba yake.
 
1991 alipewa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] iliyopokelewa na wanawe kwa niaba yake kwa sababu Suu Kyi aliogopa kutoka nje ya Myanmar kwa hofu hataruhusiwa kurudi tena.