Nyama : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d [r2.5.2] roboti Nyongeza: ce:Źiźig
d →‎Uchumi wa nyama: ainisha {{mbegu}} using AWB
Mstari 10:
 
Kilimo cha kisasa kimebadilisha muundo huu kwa sababu sehemu kubwa ya mavuno hutumiwa kwa lishe ya wanyama. Tatizo lake linaonekana pale ambako nchi tajiri kama Marekani au Ulaya zinanunua nafaka au maharagwe kote duniani kama lishe ya wanyama wao. Kwa njia hii wanaweza kupandisha bei ya vyakula hivi na wakazi maskini wanaona bei ya vyakula zinapanda kushinda uwezo wao.
 
 
{{commonscat|Meats|Nyama}}
{{Mbegumbegu-biolojia}}
 
[[Jamii:Chakula]]
 
{{Link FA|es}}
 
[[af:Vleis]]
[[an:Carne]]