Mbeya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
added template
Mstari 17:
 
Kiasili Mbeya ilikuwa eneo la Wasfwa. Siku hizi sehemu kubwa ya wakazi wanaweza kuwa Wanyakyusa kutoka wilaya ya Rungwe. Mbeya imeanzishwa na wakoloni Waingereza mnamo mwaka 1927. Sehemu kubwa ya wakazi ni wakristo, hasa wafuasi wa [[Kanisa la Katoliki]], [[Kanisa la Moravian]], [[Kanisa la Kiluteri]]. Kuna pia msikiti kubwa na hekalu ya Wahindu.
 
{{Mikoa ya Tanzania}}
 
[[Category:Tanzania]]