John Edward Gray : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: el:Τζον Έντουαρντ Γκρέι; cosmetic changes
Mstari 1:
[[Picha:Gray John Edward 1800-1875.png|thumb|<center>John Edward Gray]]
 
'''John Edward Gray''' ([[2 Februari]] [[1800]] &ndash; [[7 Machi]] [[1875]]) alikuwa mtaalamu [[Uingereza|Mwingereza]] wa [[zoolojia]] wakati wa [[karne ya 19]].
 
Alizaliwa mtoto wa baba mfarmasia aliyekusanya mimea. Mwenyewe alisoma [[tiba]] mjini [[London]] na mwaka 1824 aliajiriwa na idara ya zoolojia kwenye [[Makumbusho ya Kibritania]]. Akaendelea kuwa mkurugenzi wa idara hii tangu 1840 akaiongoza hadi 1874.
 
Wakati wake ilikuwa kipindi cha uenezaji wa Milki ya Britania kote duniani na hii ilimsaidia kuongeza sana sampuli za wanyama wa kila aina kutoka pande zote za dunia. Chini ya uongozi wake mkunsanyiko wa kisayansi wa sampuli za wanyama uliendelea kuwa bora duniani.
 
Kazi hii ilimleta [[uainishaji wa kisayansi|kuainisha]] mamia ya spishi za wanyama na ndege na kwa hiyo jina lake linakumbukwa katika majina ya spishi alizotangulia kueleza kisayansi.
Mstari 14:
 
== Viungo vya Nje ==
* [http://www.rspb-walsall.org.uk/gray/index.htm John Edward Gray, the Indian Pond Heron and Walsall]
 
{{mbegu-mwanasayansi}}
Mstari 28:
[[da:John Edward Gray]]
[[de:John Edward Gray]]
[[el:Τζον Έντουαρντ Γκρέι]]
[[en:John Edward Gray]]
[[es:John Edward Gray]]