Ubuddha wa kitibeti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 22:07, 16 Juni 2007
Ubuddha wa Kitibeti
Ubuddha wa kitibeti ni mwili wa nakalafundishi za kibuddha na aina ya utaasisi wa kitibeti, ukanda wa Himalaya(Kujumlisha kaskazini ya Nepali,Bhutan,Sikkim na Ladakh), Mongolia,Buryatia, Tuva na Kalmykia(Russia), na kaskazini mashariki ya Uchina(Manchuria: Heilongjiang, Jilin). Hujumuisha mafundisho ya vyombo vitatu (au yanas katika kisanskriti) vya ubuddha: Hinayana, Mahayana, na Vajrayana (vijulikanavyo pia kama Tantrayana).