Gideon Byamugisha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
d viungo vya tarehe na mwaka |
||
Mstari 1:
'''Gideon Byamugisha''' ni [[kasisi]] Mwanglikana [[Mganda]] na [[mchungaji]] wa kwanza Mwafrika aliyetangaza wazi ya kwamba ameambukizwa na [[UKIMWI]].
Alizaliwa tar. [[29
Akaendelea kusoma digrii ya [[theolojia]] huko [[Nairobi]] akapokelewa katika utumishi wa [[Kanisa la Kianglikana]] Uganda mwaka 1991. Mwaka uleule mke wake alikufa kutokana na UKIMWI.
|