Gideon Byamugisha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
d viungo vya tarehe na mwaka
Mstari 1:
'''Gideon Byamugisha''' ni [[kasisi]] Mwanglikana [[Mganda]] na [[mchungaji]] wa kwanza Mwafrika aliyetangaza wazi ya kwamba ameambukizwa na [[UKIMWI]].
Alizaliwa tar. [[29.08. Agosti]], [[1959]] Buranga Ndorwa, Wilaya ya Kabale, [[Uganda]] wa Magharibi akasoma ualimu kwenye [[Chuo Kikuu cha Makerere]] akamaliza kwa digrii mwaka 1985.
Akaendelea kusoma digrii ya [[theolojia]] huko [[Nairobi]] akapokelewa katika utumishi wa [[Kanisa la Kianglikana]] Uganda mwaka 1991. Mwaka uleule mke wake alikufa kutokana na UKIMWI.