'''Tandala''' ni [[mnyama|wanyama]] walao [[nyasi]] wa [[jenasi]] ''[[Tragelaphus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Spishi nyingine huitwa [[bongo]], [[kulungu]], [[nyala]] au [[nzohe]]. Wanatokea [[Afrika]] katika maeneo yenye [[mti|miti]] kutoka nyika hadhi msitu. Wana milia na madoa nyeupe juu ya rangi ya [[kahawa]] au kijivu. Dume ni kubwa kuliko jike na ana pembe ndefu zilizopopotolewa. Jike hana pembe. Wanyama hawa hula [[jani|majani]], [[nyasi|manyasi]], [[tunda|matunda]] na [[kiazi|viazi]] vya gugu.