Edward Sokoine : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Edward Sokoine |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Edward_Sokoine.jpg|thumb|right|Edward Moringe Sokoine]]
'''Edward Moringe Sokoine''' ([[1938]] - [[12 Aprili]], [[1984]]) alikuwa [[mwanasiasa]] kutoka nchi ya [[Tanzania]].
Aliwahi kuwa [[Waziri Mkuu]] mara mbili, tangu tarehe [[13 Februari]] [[1977]] hadi [[7 Novemba]] [[1980]], tena tangu tarehe [[24 Februari]] [[1983]] hadi [[kifo]] chake, alipofariki kufuatana na [[ajali]] ya gari.
Uongozi wa Sokoine ulionekana kuwa wa mfano kwa jinsi alivyokuwa na adili na kufuatilia utendaji kazi huku akikemea ulaji rushwa na ubadhilifu wa mali za umma. ▼
▲Uongozi
Sokoine alifariki kwa ajali ya gari wakati akitoka kwenye kikao cha [[bunge]] [[Dodoma]] kuelekea [[Dar es Salaam]]. Wengi wanashuku ajali hiyo kuwa ilipangwa.
Kifo chake kilileta majonzi makubwa kwa Watanzania wa kawaida ambao walikuwa wanamtarajia kuwatetea wanyonge na kuinua hali ya maisha yao.
[[Mwili]] wa Edward Moringe Sokoine ulizikwa nyumbani kwao [[Monduli]], mkoani [[Mkoa wa Arusha|Arusha]].
[[Chuo cha Kilimo na Mifugo Morogoro]] kilipewa jina la "Chuo cha Kilimo cha Sokoine" ambacho kwa sasa ni [[Chuo Kikuu cha Sokoine]].
Line 18 ⟶ 24:
[[Jamii:Waliofariki 1984]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Wafransisko]]
[[de:Edward Moringe Sokoine]]
|