Askofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kiungo |
kiungo |
||
Mstari 6:
Neno letu "askofu" limetokana na Kiarabu "uskufu" ambalo ni umbo la Kiarabu la neno la Kigiriki "episkopos". Neno hili lilijulikana katika mazingira ya Wakristo wa kwanza likimtaja mwangalizi au msimamizi wa shughuli mbalimbali serikalini, katika shirika za wananchi au penye ujenzi.
Maandiko ya
[[1Tim.]] 3,1-7 na [[Tit.]] 1,7 zinataja "episkopos" lakini wengi huamini ya kwamba nyaraka hizi zimeandikwa baada ya Paulo. Katika [[Mdo.]] 20,28 wazee au viongozi wa ushirika wa Efeso waitwa "episkopoi" kwa jumla.
|