Raphael : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d The file Image:09julius.jpg has been replaced by Image:Pope_Julius_II.jpg by administrator commons:User:Túrelio: ''File renamed: non-descriptive filename''. ''Translate me!'
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Sanzio 00.jpg|right|thumb|250px| Raphael alivyojichora mwenyewe]]
'''Raffaello Sanzio''' (ajulikanaanajulikana kama '''Raffael''' au '''Raphael''') ([[6 Aprili]] [[1483]] - [[6 Aprili]] [[1520]]) alikuwa [[mchoraji]] na [[mjenzi]] kutoka [[Italia]].

Pamoja na [[Leonardo da Vinci]] na [[Michelangelo]] huhesabiwa kati ya wasanii muhimu wa [[zama ya mwamko]] ya Italia.

Alizaliwa mjini [[Urbino]] kwa hiyo huitwa pia '''Raffaello da Urbino''' au '''Raffaello Sanzio deda Urbino'''.
 
== Maisha ==
Raphael alizaliwa kama mtoto wa mchoraji [[Giovanni Santi]] aliyefanya kazi katika utumishi wa mkabaila [[FrederikoFederiko III wa Montefeltro]].
 
KwaKatika umri wa miaka 15 alikuwa mwanafunzi katika karakana ya mchoraji [[Pietro Perugino]] aliyeshiriki katika kazi za kupamba [[kanisaKikanisa lacha Sistina]] kwenye [[Vatikano]]. Raphael alijifunza haraka na tangu 1500 alipokuwa na umri wa miaka 17 alipewa kazi za kwanza za kujitegemea.
 
Raphael alijifunza haraka na tangu [[1500]], alipokuwa na umri wa miaka 17, alipewa kazi za kwanza za kujitegemea.
 
Alianza kuchora picha katika ma[[kanisa]] ya miji mbalimbali ya Italia.
Kwa umri wa miaka 15 alikuwa mwanafunzi katika karakana ya mchoraji Pietro Perugino aliyeshiriki katika kazi za kupamba [[kanisa la Sistina]] kwenye [[Vatikano]]. Raphael alijifunza haraka na tangu 1500 alipokuwa na umri wa miaka 17 alipewa kazi za kwanza za kujitegemea.
 
Alianza kuchora picha kwa makanisa katika miji mbalimbali ya Italia. Alipenda kutembelea [[Firenze]] akitazama michoro ya walimu wa kale.
 
Tangu alihamiaalipohamia [[Roma]] alikoitwa na [[Papa Julius II]]., Kazikazi kubwa aliyopewa ilikuwa picha za ukutani kwenye vyumba vya Papa mwenyewe.
 
Raphael aliaga dunia mapema kwakatika umri wa miaka 37. Hakuoa nawala hakuna watatowatoto waliojulikana.
 
== Picha za Raphael ==
<gallery>
Image:01castig.jpg|[[Picha ya [[Baldassare Castiglione]], ([[1514]]-[[1515]])
Image:Young Man Apple.jpg|Picha ya [[Guidobaldo wa Montefeltro]], [[UffizienPalazzo degli Uffizi]] zuhuko [[FlorenzFirenze]]
Image:Pope_Julius_II.jpg|Picha ya Papa [[JulesPapa Julius II]], ([[1511]]-[[1512]])
Image:Inghirami Raphael.jpg|[[Kardinali]] [[Tommaso Inghirami]] ([[1515]]-[[1516]])
Image:Raffael 021.jpg|Mt. [[Sebastiano]]
Image:Raffael 008.jpg|Mariamu[[Bikira Maria|Maria]] na [[mtoto Yesu]]
Image:Raffael 005.jpg| MariamuMaria na mtoto Yesu (mnamo [[1507]])
Image:CristoRaffaello.jpg|[[Kristo]] ([[1507]])
Image:Raffaello Ritratto di Agnolo Doni.jpg|Picha ya [[Agnolo Doni]], ([[1506]]), [[Firenze]]
Image:Raffael 036.jpg|Picha ya [[Maddalena Doni]], ([[1506]])
Image:Raffael 043.jpg|Picha ya mwanamke aliyeitwa "La Muta", [[Galleria Nazionale delle Marche]] mjini [[Urbino]]
Image:Fornarina.jpg|La Fornarina ([[1518]]-[[1520]])
Image:Raffael 004.jpg|[[Msalaba]] ([[1507]])
Image:Raffael 010.jpg|Warembo watatu <br />([[1504]]-[[1505]])
Image:Raphael - Saint George Fighting the Dragon.jpg|Mt. GeorgesGeorge apiganaakipigana na joka ([[1505]])
Image:Plato-raphael.jpg|[[Plato]], ([[1509]])
Image:Raphael-Young man-1.jpg|Picha ya [[Francesco Maria della Rovere]]] ([[1514]]), (Czartoryski Museum), [[Kraków]] ([[Polandi]])
</gallery>
 
Line 39 ⟶ 47:
* {{en}} [http://www.artcyclopedia.com/artists/raphael.html Raphael kwenye Artcyclopedia]
 
[[Jamii:Wasanii wa Italia|Raphael]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1483|Raphael]]
[[Jamii:Waliofariki 1520|Raphael]]
[[Jamii:WasaniiWachoraji wa Italia|Raphael]]
 
[[af:Raphael]]