Revocatus : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
No edit summary
Mstari 1:
'''Revocatus''' (kut.kutoka [[Kilat.Kilatini]] "revocare" - '' kuita tena'') ni mmoja wa mashahidi wa [[imani]] ya [[Ukristo|Kikristo]] waliouawa mnamo mwakatarehe [[7 Machi]] [[203]] mjini [[Karthago]] wakati wa kudhulumiwa[[dhuluma]] kwadhidi ya Wakristo chini ya [[serikali]] ya [[Kaisari]] [[Septimius Severus]] ([[193]]-211). Aheshimiwa kati ya [[watakatifu wakristo211]]).
 
Anaheshimiwa kati ya [[watakatifu]] [[wafiadini]].
Revocatus akumbukwa pamoja na watakatifu [[Perpetua Mtakatifu|Perpetua]] na [[Felista Mtakatifu|Felista]] wanaojulikana zaidi kama mashahidi wakristo wa Afrika ya Kaskazini.
 
Revocatus akumbukwaanakumbukwa pamoja na watakatifu [[Perpetua Mtakatifu|Perpetua]] na [[Felista Mtakatifu|Felista]] wanaojulikana zaidi kama mashahidi wakristoWakristo wa [[Afrika ya Kaskazini]].
Revocatus alikuwa kati ya watumishi wa familia ya Perpetua sawa na mwenzake Felista. Pamoja na vijana Perpetua, Felista na Saturninus alikuwa mmoja wa wanafunzi wa imani ya kikristo mjini Karthago waliojiandaa kubatizwa. Kundi lote likakamatwa pamoja na kutipwa jela. Jinsi ilivyokuwa kawaida walipewa nafasi ya kuachana na Ukristo lakini wote walisimama imara wakabatiwza gerezani.
 
Revocatus alikuwa kati ya watumishi[[watumwa]] wa [[familia]] ya Perpetua sawa na mwenzake Felista. Pamoja na vijanawasichana Perpetua, Felistahao na Saturninus alikuwa mmoja wa wanafunzi wa imani ya kikristo mjini Karthago waliojiandaa kubatizwa. Kundi lote likakamatwa pamoja na kutipwakutupwa jela. Jinsi ilivyokuwa kawaida walipewa nafasi ya kuachana na Ukristo lakini wote walisimama imara wakabatiwza gerezani.
Walihukumiwa kifo katika uwanja wa michezo mbele ya watu wote. Hukumu ilitekelezwa kwa wanyama witu wa pori.
 
Walihukumiwa [[adhabu ya kifo]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya watu wotewengi. Hukumu ilitekelezwa kwa wanyamanjia witu waya pori[[wanyamapori]].
Revocatus akumbukwa ya kwamba alisimama mbele ya umati wa watu waliokuja kuona damu yao na kuwakumbusha ya kuwa kila mmoja atawajibika mbele ya Mungu.
 
Revocatus akumbukwa yaanakumbukwa kwamba alisimama mbele ya umati wa watu waliokuja kuona [[damu]] ya yaowafiadini nahao kuwakumbushaakawakumbusha ya kuwa kila mmoja atawajibika mbele ya [[Mungu]].
Jina la Revocatus limekuwa jina linalotumiwa kati ya wakatoliki wa Afrika ya Mashariki.
 
Jina la Revocatus limekuwa jina linalotumiwa katina ya[[Kanisa wakatolikiKatoliki|Wakatoliki]] wa [[Afrika ya Mashariki]].
{{Mbegu-mtu}}
 
{{Mbegu-mtuMkristo}}
 
[[Jamii:Waliofariki 203]]
[[Jamii:Watu wa Roma ya Kale]]
[[Jamii:WatakatifuWafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]