Saturnus : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sq:Kroni |
dNo edit summary |
||
Mstari 2:
'''Saturnus''' ni jina la mungu mmojawapo aliyeabudiwa katika [[Roma ya Kale]]. Aliaminiwa kuwa mungu aliyehusika mambo ya kilimo na mavuno. Alitolewa sadaka kwa ajili ya kustawi kwa mazao.
Katika masimulizi ya Waroma wa Kale Saturnus alikuwa mwana wa mungu wa mbingu [[
Sikukuu ya Saturnus iliitwa "Saturnalia" ni siku kadhaa kuanzia Desemba 17 zilizokuwa sherehe kubwa huko Roma.
|