Poseidoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox Mythological Characters| | picha = 200px | maelezo = Sanamu ya Poseidoni | rangi = #CEF2E0 | jina = Pos...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 00:51, 13 Machi 2011
Poseidoni (Kigiriki cha Kale: Ποσειδῶν, Poseidōn) ni mungu wa bahari, tetemeko na farasi katika mitholojia ya Kigiriki. Analingana na Neptunus katika dini ya Roma ya Kale.
Poseidoni | |
---|---|
Sanamu ya Poseidoni | |
Mungu wa Bahari, Tetemeko na Farasi | |
Makao | Mlima Olimpos |
Alama | Tridenti, Samaki, Pomboo, Farasi, Fahali |
Mwenzi | Amfitrita |
Wazazi | Krono na Rea |
Ndugu | Hade, Demetra, Hestia, Hera na Zeu |
Watoto | Theseo, Tritoni, Polifemu |
Ulinganifu wa Kirumi | Neptunus |