Spaghetti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Spaghetti-cooking.jpg|200px|thumb|right|
[[Picha:Spaghetti-prepared.jpg|200px|thumb|right|'''
'''Spageti''' ([[Kiitalia]]: ''Spaghetti'') ni chakula cha [[tambi]] chenye asili ya [[Italia]] Kusini. Ni tambi ya [[ngano]] yenye umbo ni nyembamba na urefu wa sentimeta 40. Hupikwa katika maji kwa dakika chache na kuliwa kwa uma baada ya kuongeza michuzi mbalimbali.
Kutoka Italia chakula hiki kimeenea duniani kwa sababu hupikwa haraka ina shibe nzuri na kuna njia nyingi ya kubadilisha ladha yake. Kwa njia ya utani zimekuwa ishara kwa utamaduni wa Italia jinsi inavyoonekana katika filamu za [[Spaghetti Western]].
== Michuzi ==
Kati ya michuzi ya kawaida ya
* "alla Napoletana" au kufuatana na kawaida ya [[Napoli]] ni mchuzi nzito wa nyanya na viungo kama vitunguu, vitunguu saumu na majani ya kuongeza ladha. Juu yake humwagwa jibini iliyosagwa. Wengine huongeza vipande vidogo sana vya nyama iliyokaangwa pamoja na vitunguu katika supu hii.
|