Papa Innocent VIII : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:20, 25 Juni 2007
Papa Innocent VIII (1432 – 25 Julai, 1492) alikuwa papa kuanzia 29 Agosti, 1484 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Cybo (au Cibo). Alimfuata Papa Sixtus IV.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |