Tanganyika African National Union : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 5:
TANU ilishinda kila uchaguzi chini ya utawala wa kikoloni ikawa chama cha kuongoza Tanzania kupata uhuru wake. Katiba ya Taifa ya mw.1962 ilifanya TANU kuwa chama cha pekee nchini ikifuata mfano wa nchi za kijamaa.
Mwaka 1977 TANU ilivunjwa; kwa kuungana na Chama cha Afro-Shirazi ya Zanzibar chama kipya cha [[CCM]] ([[Chama cha Mapinduzi]]) kiliundwa.
|