Kanisa la Moravian Kusini Magharibi Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Kanisa la Moravian Kusini Magharibi Tanzania (KMKMT)''' (pia kwa Kiingereza: Moravian Church in South West Tanzania - MCSWT) ni [[jimbo]] la [[Kanisa la Moravian Tanzania]] hasa katika wilaya za [[Mbeya]], [[Mbozi]], [[Chunya]] na [[Mbarali]] wa [[mkoa wa Mbeya]]. Pia shirika mpya za Moravian katika kaskazini ya [[Tanzania]] ziko chini ya jimbo hili ambazo ni [[Arusha]], [[Kilimanjaro]], [[Tanga]], [[Dodoma]] na [[Manyara]].
 
==Historia==