Uchoraji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d ainisha {{mbegu}} using AWB |
|||
Mstari 14:
Kutoka tamaduni ya juu kama [[Misri]], [[bonde la Indus]] au [[China]] tunajua mifano mingine ya uchoraji inayoonyesha hali ya juu zaidi. Katika ustaarabu wa madola ya kwanza wachoraji walikuwa tayari watu waliokuwa na nafasi ya kufuata sanaa yao bila haja ya kuwinda au kulima wenyewe kwa sababu mtu mkubwa kama mfalme au kuhani aliwapa ridhiki ya maisha.
Katika makaburi ya [[
Katika [[Ugiriki ya Kale]] uchoraji na wasanii wake uliheshimiwa sana. Philostrates aliandika mnamo mwaka 300 KK ya kwamba uchoraji ulibuniwa na miungu. Kuna taarifa juu ya picha lakini ni machache tu yaliyohifadhiwa kwa sababu ya hali ya hewa na kwa sababu picha nyingi zilichorwa juu ya ubao au matofali.
|