Infidel dogs and infidel bitches do not deserve articles nor p.b.u.h. after their names MY CROSSWIKI JIHAD: http://toolserver.org/~luxo/contributions/contributions.php?user=Aminullah&blocks=true&lang=en
|maelezo_ya_picha = Wakati wa miaka ya 1960 bado palikuwa na mashamba Giza
|pushpin_map = Misri
|pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Giza katika Misri
|settlement_type = Jiji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Misri]]
|subdivision_type1 = [[Mikoa ya Misri|Mkoa]]
|subdivision_name1 = [[Mkoa wa Giza|Giza]]
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla = 2443490
|latd=30 |latm=01 |lats= |latNS=N
|longd=31 |longm=13 |longs= |longEW=E
|website =
}}
[[Image:Giza_kutoka_juu.jpg|right|thumb|300px|Giza inavyoonekana kutoka angani: Bonde la Nile na mwanzo wa jangwa penye piramidi]]
'''Giza''' ([[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini ya [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Kuna wakazi 2,443,490 (2005).
Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa.
Giza yajulikana hasa kama mahali pa [[piramidi za Giza|piramidi]].