Zanj : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
→‎Viungo vya Nje: clean up using AWB
No edit summary
Mstari 1:
[[picha:Zanj.jpg|thumb|250px|Eneo la Zanj ya kihistoria kwenye ramani ya Afrika ya Mashariki]]
'''Zanj''' ([[Kiarabu]] na [[Kifarsi]] '''زنج''') ni neno lililotumiwa na waandishi Waislamu wa zamani kutaja watu weusi kutoka Afrika ya Mashariki na pia kwa maana ya kijiografia kutaja eneo la [[Afrika ya Mashariki]].