Mahakama ya Kimataifa ya Jinai : Tofauti kati ya masahihisho

no edit summary
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 3:
 
'''Mahakama ya Kimataifa ya Jinai''' ([[Kifaransa]]: ''Cour Pénale Internationale''; [[Kiing.]] '''International Criminal Court''' ambayo kawaida hujulikana kama '''ICC''' au '''ICCt''' ni mahakama ya kudumu ya kuwashtaki watu kwa [[mauaji ya kimbari]], hatia dhidi ya ubinadamu, hatia za kivita na hatia ya ushambulizi (ingawa kwa sasa haiwezi kuwashtaki watu kwa hatia ya ushambulizi)
 
Ni tofauti na [[Mahakama Kuu ya Kimataifa]] inayoamua ugomvi kati ya nchi kama pande zote zinakubali kupeleka kesi huko.
 
==Msingi wa ICC==