Meli : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:BateaugoeletteLod Schema.jpgpng|thumb|Jahazi350px|Muundo wa meli ya kisasa]]
 
'''Meli''' ni chombo kikubwa cha [[usafiri]] kwenye maji. Siku hizi meli huwa na bodi ya chuma ikisogezwa kwa nguvu ya injini inayochoma [[diseli]]. Hadi karne ya 19 meli zilijengwa kwa kutumia ubao zikasongezwa hasa kwa nguvu ya upepo kwa kutumia [[tanga]]. [[Jahazi]] ziko hadi leo.
 
Line 9 ⟶ 8:
Mkuu na kiongozi kwenye meli anaitwa [[nahodha]]. Watu wanaofanya kazi kwenye meli kwa jumla ni [[mabaharia]].
 
[[Picha:Lod SchemaBateaugoelette.pngjpg|thumb|250px|Muundo wa meli ya kisasaJahazi]]
== Muundo wa meli ==
# [[Omo]] ni sehemu ya mbele ya bodi ya meli