Finisia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Phoenicia map-en.svg|thumb|300px|Ramani ya Finisia upande wa mashariki wa Mediteranea]]
[[File:PhoenicianTrade.png|thumb|300px|Njia za biashara ya miji ya Finisia]]
'''Finisia''' (kutoka [[Kigiriki]] Φοινίκη:
Wafinisia waliongea kwa [[Kifinisia]] ambacho ni [[lugha ya Kisemiti]] wakaishi katika [[dola-miji]] wakifanya biashara ya baharini kote katika Mediteranea na hata nje yake. Walianzisha miji ya [[koloni]] katika eneo la Mediteranea na koloni mashuhuri ilikuwa [[Karthago]] iliyokuwepo karibu na [[Tunis]] katika [[Tunisia]] ya leo. Waroma wa Kale waliwaaita "Puni" wakatwaa eneo lao lote mwaka 63 na tangu wakati ule Finisia likuwa sehemu ya jimbo la Syria ndani ya [[Dola la Roma]].
|