Uongo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<center><small>'''Kwa neno la kutaja kipindi cha miaka 10 tazama: [[mwongo]]'''</small></center>
[[File:PinocchioChiostri22.jpg|thumb|200px|Pua ya [[Pinocchio]] inakua na kuwa ndefu kila akisema uwongo.]]
'''Uongo''' ni tamko lisilo kweli lanalotolewa kwa
Mara nyingi uwongo hutumiwa kwa kusudi la kuficha [[kosa]], [[aibu]] au tendo [[haramu]]. Kusudi
Uwongo
==Aina za uwongo==
[[Augustino wa Hippo]] alikuwa kati ya wataalamu wa kwanza waliofanyia uwongo [[utafiti]]. Katika kitabu chake "Kuhusu uwongo" ("De Mendacio") aliorodhesha aina nane za uwongo kama vile
* Uwongo kuhusu mafundisho ya
* Uwongo unaoleta hasara kwa mtu bila kumsaidia yeyote
* Uwongo unaosababisha hasara kwa watu kadhaa na kuwasaidia wengine
* Uwongo unaosimuliwa kwa [[furaha]] ya uwongo au kama [[mzaha]]
* Uwongo unaotolewa kwa kumfurahisha mtu wakati wa [[maongezi]]
* Uwongo usiomwudhi mtu lakini unaokoa
* Uwongo usiomwudhi mtu na unaokoa [[heshima]] ya mtu
* Uwongo usiomwudhi mtu na kumsaidia mtu
Hapa alitofautisha kati ya uwongo mzito (unaoleta hasara kwa mtu au
[[Category:Maadili]]
|