Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Shirika la Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki umehamishwa hapa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki: tuwe na namna moja kwa makampuni ya kikoloni - nimesahau
No edit summary
Mstari 1:
'''ShirikaKampuni laya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki''' ilikuwa shirika ya binafsi iliyoundwa na [[Karl Peters]] iliyoanzisha koloni ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]].
 
Ilianzishwa kwa jina la "Shirika kwa koloni za Kijerumani" mwaka 1884. Wawakilishi wake walifaulu mwaka uleule kujipatia mikataba na machifu na masultani wa Afrika ya Mashariki upande wa mashariki wa maeneo chini ya utawala wa Zanzibar kwenye pwani.
Mstari 5:
Peters alikataliwa awali na serikali ya [[chansella]] [[Bismarck]] asiyetaka koloni lakini baada ya kumtisha ya kwamba angeuza maeneo yale kwa mfalme [[Leopold II wa Ubelgiji]] alipewa barua ya ulinzi kutoka serikali ya Berlin.
 
[[1888]] shirikakampuni lilikodishailikodisha pwani lote la Tanganyika ya baadaye kutoka [[Zanzibar]]. Jaribio lake la kulitawala hali halisi kuanzia [[15 Agosti]] 1888 likasababisha ghasia na [[vita ya Abushiri]].
 
Utawala wa shirikakampuni uliporomoka ukapaswa kuomba msaada wa serikali ya Ujerumani. Ikapaswa kuuza haki zake zote za kiutawala kwa serikali iliyochukua utawala wa koloni kuanzia 1891.
 
ShirikaKampuni iliendelea kama shirika ya biashara tu iliyoendesha mashamba na kuuza bidhaa hadi [[vita kuu ya kwanza ya dunia]]. Baada ya vita mali yake yote iliondolewa na Uingereza.